Fundi sanifu msaidizi ujenzi daraja la ii(re-advertised) Jobs in Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Tanzania vacancies in Tanzania at Halmashauri ya Wilaya ya


POST FUNDI SANIFU MSAIDIZI UJENZI DARAJA LA IIRE-ADVERTISED - 1 POST

POST CATEGORYS ENGINEERING AND CONSTRUCTION
EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Njombe
APPLICATION TIMELINE 2021-02-19 2021-03-04
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i.Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba kupaka rangi na kufunga mabomba;

ii.Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani
“furniture”;

iii.Mafundi Sanifu watapangiwa kazi na Mamlaka zinazohusika katika fani zao
kutegegemea cheo, ujuzi, uzoefu na uwezo wao na utendaji mzuri wa kazi.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne IV katika masomo ya sayansi na kufuzu
mafunzo ya mwaka mmoja ya fani za ufundi ujenzi kutoka katika vyuo
vinavyotambuliwa na serikali

REMUNERATION TGS B

Login to Apply
Please see how to apply below



Apply Today Through









URL Link to Apply


Fundi sanifu msaidizi ujenzi daraja la ii(re-advertised) Jobs in Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Tanzania vacancies in Tanzania at Halmashauri ya Wilaya ya


Welcome back to Mkaguzi Blog